Sahih al-Bukhari 6306
🤲 Du'a kuu ya msamaha
اللَّهُمَّ أَنْتَ رَبِّي لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ، خَلَقْتَنِي وَأَنَا عَبْدُكَ، وَأَنَا عَلَى عَهْدِكَ وَوَعْدِكَ مَا اسْتَطَعْتُ، أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا صَنَعْتُ، أَبُوءُ لَكَ بِنِعْمَتِكَ عَلَيَّ، وَأَبُوءُ بِذَنْبِي، فَاغْفِرْ لِي، فَإِنَّهُ لَا يَغْفِرُ الذُّنُوبَ إِلَّا أَنْتَ.
Allahumma anta rabbi, la ilaha illa anta, khalaqtani wa ana 'abduka, wa ana 'ala 'ahdika wa wa'dika ma-stata'tu, a'udhu bika min sharri ma sana'tu, abu'u laka bi ni'matika 'alayya, wa abu'u bi dhanbi, fa-ghfir li, fa-innahu la yaghfiru-dh-dhunuba illa anta.
Ee Mwenyezi Mungu! Wewe ni Mola wangu, hapana mungu apasaye kuabudiwa kwa haki ila Wewe. Wewe umeniumba na mimi ni mja Wako, na ninazingatia ahadi yako na agano lako kwa kadri ninavyoweza. Najikinga kwako kutokana na shari ya yale niliyoyatenda. Naikiri neema yako juu yangu na naikiri madhambi yangu; basi nisamehe, kwani hapana asamehaye madhambi ila Wewe.