Ruka kwa maudhui makuu
24 Muharram 1448 AH
eSalah
Ingia

Quran 3:8

🤲 Kuomba uthabiti

رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوبَنَا بَعْدَ إِذْ هَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً ۚ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ

Rabbana la tuzigh qulubana ba'da idh hadaytana, wa hab lana min ladunka rahmah, innaka anta-l-wahhab.

(Na hao husema): Mola wetu Mlezi! Usizipotoe nyoyo zetu baada ya kwisha tuongoa, na utupe rehema itokayo kwako. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

← Rudi kwa du'a zote